20 DAYS KISUKARI KWAHERI, DAWA ZETU NI UHAKIKA NA WENGI ZIMEWASAIDIA WAMEPONA KABISA NA WANAKULA KILA KITU, TUMIA NA WW UTAFANIKIWA BONYEZA HAPO JUU🖕👆


 UJUE UGONJWA WA KISUKARI, CHANZO, DALILI NA TIBA SAHIHI
🙏NB SOMA KWA MAKINI UELEWE KWANZA KABLA HUJAANZA DOZI

Magonjwa yasiyoambukizwa ni magonjwa ambayo hayasambazwi kwa mtu mwengine kwa kuwa hakuna vimelea mwilini  vinavyohusiana na magonjwa hayo. Magonjwa yasiyo yakuambukiza ni Kama vile, KISUKARI, MAGONJWA YA MOYO NA MISHIPA YA DAMU, KIFUA SUGU, SARATANI, FIGO MAGONJWA YA AKILI NA MENGINE  YAKURITHI KAMA VILE SELIMINDU(SICKLE CELL DISEASE)


👉KISUKARI hutokana na vyakula pamoja na vinywaji tunavyo tumia kila siku kwa ajili ya kuupa mwili nguvu, glukosi ni aina ya sukari ambayo huzipa chembe za mwili nishati. Hata hivyo ili glucose iingie ndani ya chembe izo inaitaji insuline. Insuline ni kemikali (homoni) ambayo hutengenezwa na kongosho (pancrease)


Kisukari ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na sukari nyingi kupita kiasi kwenye damu, ugonjwa huo huvuruga utaratibu was kuingiza sukari ndani ya chembe kutoka kwenye damu kwa kuwa chembe huitaji sukari ili kupata nishati.


Ugonjwa wa Kisukari hutokea pale ambapo tezi ya kongosho inaposhindwa kutengeneza kichocheo(homoni) aina ya insuline Au pale mwili unaposhindwa kutumia vizur kichocheo hicho na kusababisha kuongezeka kwa kiwango Cha sukari(HYPERGLYCEMIA) au kushuka kwa kiwango cha sukari (HYPOGLYCEMIA), Ugonjwa wa Kisukari unawez kusababishwa na kupungua kwa kiwango Cha insuline mwilini, mwili kutotumia kichocheo hicho au vyote viwili.


Ripo zinaonyesha takribani watu milion 316 ulimwenguni wanakiwango Cha juu Cha sukari ingawa wengi wao hawajagundua kuwa wana kiwango hicho.


Mamilioni ya watu wana ugongwa wa Kisukari lakini hawana habari, Ningumu zaidi kutibu ugonjwa Wa Kisukari kwasababu mtu anaweza kuishi nao kwa muda mrefu kabla haujagunduliwa, hivyo ndio sababu watu husema kwamba ugonjwa huo huuwa kimyakimya.


👉AINA ZA UGONJWA WA KISUKARI (TYPES    OF DIABETES)

✍️TYPE 2 DIABETES

✍️TYPE 1 DIABETES

✍️PREDIABETES

✍️GESTATIONAL DIABETES

✍️DIABETIC KIDS

✍️DIABETES INSIPIDUS


🌟TYPE 2 DIABETES

Is a chronic condition affects the way the body processes blood sugar,


🌟TYPE 1 DIABETES

Is a chronic condition in which pancrease producess little or no insuline


🌟PREDIABETES

Is a condition in which blood sugar is high but not high enough to be type 2 diabetes


🌟GESTATIONAL DIABETES

Is a form of high blood sugar affecting pregnant women


🌟DIABETIC KIDS

Is a form of diabetes affecting children


🌟DIABETES INSIPIDUS

Is a disoder of salt and water metabolism marked by intense thirst and heavy urination or is a disease process that results in either DECREASED release of ant diuretic hormone (ADH, aslo known as vasopresin or AVP) or reduced response to ADH, causing electrolytes imbalance


👉NI NINI HASA CHANZO CHA KISUKARI

ili kuelewa vyema ugonjwa wa Kisukari ni muhimu kwanza kuelewa namna ya chakula kinavyovunjwavunjwa na kutumiwa na mwili ili kuzalisha nguvu.wakati chakula kinapoyeyushwa matokea kadhaa hutokea moja ni sukari inayoitwa glucose ambayo ni chanzo Cha nishati/nguvu mwilini huingia katika damu, Tukio la pili ni kiungo kinachoitwa kongosho(pancrease) kutengeneza kichocheo Cha insuline, kazi ya insuline ni kuondoa glucose katika damu na kuingiza katika misuli, seli za mafuta na inni, ambako hutumika Kama nishati,


Watu wenye Kisukari huwa na kiwango kikubwa Cha sukari kwenye damu kuliko inavyotakiwa kwa sababu miili yao haiwezi kupeleka sukari kwenye seli za mafuta, ini na misuli ili ihifadhiwe kwa ajili ya kuzalisha nguvu, hii ni kutokakana na moja ya sababu zifuatazo ✍️huenda kongosho zao haziwezi kutengeneza insuline ya kutosha au ✍️seli za mwili wao haziathiriwi na insuline Kama inavyotakiwa au ✍️sababu zote mbili izo.


👉Kama ww ni mnene kupita kiasi hufanyi mazoezi kwa ukawaida, au unawatu wa ukoo wenye Kisukari, huenda tayari unakiwango cha juu cha sukari kwenye damu,  ongezeko la  sukari kwenye damu mbali ya kuwa kisababishi cha Kisukari hali hiyo inahusianishwa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa akili uitwao (DEMENTIA)


Kula sukari nyingi sio sababu ya ugonjwa wa Kisukari. Lakini ni lazima niseme kwamba kula sukari nyingi sio nzur kwa afya yako kwani utaongeza uzito wa kuweza kuathiri uwezo wa mwili wako kujikinga na maradhi tofauti,


NB ugonjwa wa Kisukari ni ugonjwa unaoathiri kiini Cha nishati ya mwili, mwili unaposhindwa kutumia glucose mifumo mbalimbali ya mwili inaweza kuacha  kufanya kazi au hata kusababisha kifo.


👉Ugonjwa wa Kisukari hujulikana Kama 

           'DIABETES MELLITUS'

Neno 'DIABETES MELLITUS' linatokana na neno la kigiriki linalomaanisha 'KUNYONYA' na neno la kilatini linalomaanisha 'tamu Kama asali' maneno hayo yanafafanua Zaid ugonjwa huo. Kwani maji kanakwamba yanapita mwilini mwa mtu mwenye ugonjwa wa Kisukari kanakwamba yananyonywa na mdomo na kupitia kwenye njia ya mkojo Kisha kutoka nje ya mwili, isitoshe mkojo huwa na ladha tamu kwa kuwa unasukari. Ndio sababu kabla ya kuvumbua njia Bora za kupima mkojo huo mbinu moja ya kutambua Kama mtu anakisukari ilikuwa ni kumwaga mkojo wa mtu anae shukiwa kuwa na ugonjwa wa Kisukari kwenye chungu Cha sisimizi, sisimizi wakivutiwa na mkojo huo basi hilo linamaanisha kuwa mtu anaugonjwa wa KISUKARI.


👉NI NANI ANAEWEZA KUWA NA UGONJWA WA KISUKARI (RISK FACTORS OF DIABETES)

✍️wenye uzito kupitiliza(overweight)

✍️Wenye familia yenye historia ya UGONJWA wa KISUKARI(family history of diabetes)

✍️wanawake waliozaa watoto wenye uzito Zaid ya kilo 4( mothers who have baby born 4 kg and above)

✍️Watu wasiojishughulisha au wasifanya mazoez(less physically activities)

✍️Wenye shinikizo la damu(BP people's)

✍️Wenye msongo wa mawazo(stressed peoples)

✍️Wavutaji sigara na wanywaji pombe(cigarate smokers and alcohol drinkers)

 

Watu hawa tunawashauri kupima sukari yao kila mwaka wakiwa na miaka 45 na kuendelea


Kuna hatari kubwa ya kuugua ugonjwa huo ikiwa mtu anamafuta mengi katika tumbo lake na kiuno kuliko kwenye mapaja, mafuta katika kongosho na ini huvuruga uwezo Wa mwili wa kudhibiti kiwango Cha sukari katika damu


🔥Wavutaji wa sigara wanakabiliwa na hatari kubwa Zaid kwani tabia hiyo hudhuru moyo na mfumo wa mzunguko wa damu na kubana mishipa ya damu

Takwimu zinonesha kwamba asilimia 95 ya watu wanougua Kisukari ambao hulazimika kukatwa viungo ni Wavutaji sigara.


👉DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI (SYMPTOMS OF DABETES)

✍️kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila WAKATI

✍️kwenda haja ndogo mara kwa mara (watoto kukojoa kitandani)

✍️kuwa DHAIFU kupungua uzito na kujiskia mchovu kila WAKATI

✍️kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizur

✍️kuskia njaa kila wakati na kula sana 

✍️Wanawake kuwashwa ukeni

✍️kutoona vizur

✍️Kupungua nguvu za kiume au kukosa hamu ya kujamiiana kwa MWANAMKE

✍️ganzi, kuchomwachomwa au kukosa hisia unapoguswa sehem za miguuni, viganja na vidole.

✍️miguu kuoza na hata kupata gangrin

✍️kukauka kwa ngozi na hata kupata Aina ya ganzi katika miguu

✍️vidonda au majeraha sehem yoyote ya mwili kutopona kwa HARAKA

✍️Majipu sehem mbalimbali za mwili


Wenye dalili hizi tunawashauri kupima Kisukari ili kubaini Kama wana ungonjwa huo.


👉COPLICATION OF DIABETE( MADHARA YA KISUKARI)

✍️STROCKE/KIHARUSI

✍️DIABETES RETINOPATHY, CATARACT, GLAUCOMA, BLINDNESS /UPOFU

✍️HEART ATTACK(MOGONJWA YA MOYO)

✍️DIABETIC NEPHROPATHY (MATATIZO YA FIGO)

✍️PHERIPHERAL NEUROPATHY

✍️DIABETIC FOOT 


MAJOR COMPLICATION

🔥STROCKE

🔥BLINDNESS

🔥HEART DISEASES

🔥KIDNEY FAILUER

🔥AMPUTATION


TREATMENTS

ILI MTU APONE KABISA UGONJWA WA KISUKARI NI LAZMA APATIWE DAWA SAHIHI ZITAKAZO DHIBIT INSULINE IWEZE KUBAKI KATIKA KIWANGO STAHIKI


MCHANGANYIKO WA DAWA HIZO ZIWEZE KUTIBU KWENYE KONGOSHO KADHALIKA


MKOMBOZ HERBS IMEFANYA UTAFITI NA KUWEZA KUPATA DAWA BORA YA KUMALIZA UGONJWA HUO MOJAKWA MOJA NA SIO BOOSTER


HAIJALISHI UNATUMIA METFORMIN, GLIBENCLAMIDE, AMA SINDANO 💉YA INAULINE DAWA ZETU ZINAKUSAIDIA UTAPONA KWA HARAKA ZAID NDANI YA SIKU 20 SUKARI KWAHERI


DAWA ZETU ZIPO KATIKA MUUNDO WA SYRUP, CAPSULE💊 , TABS 🕳️NA TEA BAG


Dawa ZETU ni KUTOKA nje ya nchi na ZIMETHIBITISHWA wengi zimewasaidia

 

Bei tsha 500000/= Dozi nzima pia unawez kuanza na nusu Dozi


WASILIANA NA DR ADAM MOJA KWA MOJA AKUSAIDIE 0753 555 460


🤝MALIPO kwa 1;mpesa LIPA no 5125775(ADAM JUMA NDUNGO)

AU

LIPA KWA CARD BANK a/c 0152830892400 (ADAM JUMA NDUNGO)


ukilipia tuma ujumbe wa MALIPO yaan payslip kwa namba hii 0753 555 460 SEMA kuwa nimelipia  DAWA YA KISUKARI, NB UAMINIFU NDIO KIPAOMBELE CHETU.


AU WASILIANA NASI MOJAKWAMOJA KWA 0753 555 460 KWA MAELEZO ZAID